Sermon for Cycle A – 7th Sunday Homily

“You must therefore be perfect just as your heavenly Father is perfect.” Mt 5:48
Dachau was the first Nazi concentration camp to be opened.  It was basically a forced labour camp.  Today it is open to the public.  In this memorial site there are different churches and also a synagogue that have been built. What impressed me most during my visit to the memorial site last summer was the Church of Reconciliation.   The peculiarity of this church is that its structure has no right angles.  The irregular shape is a symbolic protest against the orderly layout of the camp in which all the buildings are set in perfect array.  As I was leaving the memorial site, I thought, an exaggerated sense of order could be a sign of neurosis.  And it could be life-threatening.
In the gospel passage of today, as Jesus continues his ‘Sermon on the Mount,’ he reiterates, “You must […]

Continue reading


Maisha ya Kiroho – 1

UTUME KWA VIJANA 10
Sahaya G. Selvam, SDB
 
Vijana, Tunaitwa kuwa Watakatifu!
Maisha ya Kiroho Kwa Vijana – 1
 
Sote Tumeitwa kuwa Watakatifu
 
Mtaguso wa pili wa Vatikano ulitukumbusha kuwa sisi sote tumeitwa kuwa watakatifu:  “Bwana Yesu, aliye Mwalimu na mfano wa kimungu wa kila ukamilifu, aliwahubiria wafuasi wake, wote na kila mmoja wa kila cheo na hali, utakatifu wa maisha, ambao Yeye huwa mtungaji na mtimilizaji wake. ‘Muwe wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu’ (Mt. 5:48).” (Hati ya Mwanga wa Mataifa, na. 40)
 
Kila mmoja katika maisha yake ya kila siku, anatafsiri agizo hili la Yesu kadiri ya nafasi yake na tena kulingana na wito wake – kama mlei, mtawa au padre.   Ingawa kila mmoja anaishi maisha yake kwa namna tofauti, wito wa kuwa mtakatifu ni mmoja.  Katika miaka iliyofuata Mtaguso wa pili wa Vatikano kanisa limeonesha wazi kwamba kuwa utakatifu si jambo la zamani, wala si nafasi pekee kwa wamonaki tu.  Kudhihirisha […]

Continue reading


Maisha ya Kiroho – 2

UTUME KWA VIJANA 11
Sahaya G. Selvam, SDB
Vijana, Tunaitwa kuwa Watakatifu!
Maisha ya Kiroho Kwa Vijana – 2
 
Katika makala iliyotangulia tulieleza kuhusu maana ya maisha ya kiroho kwa vijana.  Hapo chini tungependa kueleza vipengele saba vinavyoweza kuwasaidia vijana katika safari yao ya kujikamilisha.  Katika kuandika makala hii nimesaidiwa na Prosper Dionis, ambaye ni kijana mtanzania.  Kwa namna nyingine anaeleza jinsi yeye mwenyewe anavyoishi maisha ya utakatifu.
 
1. Kuadhimisha Maisha kwa Furaha
 
Kuadhimisha maisha kwa furaha ni ile hali ya kutambua ubora wa maisha na kutoruhusu mahangaiko ya maisha kutukatisha tamaa.  Maisha ni zawadi ya pekee kutoka kwa Mungu.  Zawadi hii ni kwa ajili ya kulindwa, kukuzwa na kuadhimishwa.  Taabu za maisha wala mahangaiko ya kila siku hayapaswi kuwa vizuizi vya sisi kutofurahia maisha. Kuadhimisha maisha kwa furaha ni fikra niliyo nayo kwamba maisha ni zaidi ya magumu ninayokutana nayo kwa sasa.  Kuadhimisha maisha ni kupokea zawadi ya maisha kama yalivyo, pamoja na taabu na […]

Continue reading